Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

Iran yaionya Marekani

Iran,US nuclear dealRis wa Iran, Hassan Rouhani, amesema kwamba endapo rais Trump atafanikiwa kusitisha makubaliano ya mpamgo wa nuklia na Tehran, Marekani itambue wazi itakabiliwa na "majuto ya kihistoria"
Tamko hilo la rais Rouhani, lililotolewa kwenye runinga, limekuja wakati waziri wa masuala wa nchi za nje wa Uingereza wa kigeni, Boris Johnson, amekwenda mjini Washington kama sehemu ya jitihada za kumshawishi rais Trump na utawala wake wasiutelekeze mpango wa nyuklia.
Tarehe ya mwisho ya kutoa maamuzi kwa serikali ya Marekani juu ya Iran inatarajiwa kufikia ukingoni wiki moja ijayo.
Msemaji wa Ikulu ya Marekani alisema rais wa Marekani amesisitiza ahadi yake ya kuhakikisha kwamba Iran haipati kamwe silaha ya nyuklia. Na katika siku za hivi karibuni, Rais Trump alimweleza rais wa Ufaransa aliyekuwa ziarani na viongozi wa Ujerumani kwamba anaamini makubaliano ya kimataifa ya kukabiliana na mpango wa nyuklia wa Iran ulikuwa mzuri sana.
Wakati wote Korea Kaskazini imekuwa ikiikosoa Marekani , lakini kumekuwa na mashambulizi machache katika wiki za hivi karibuni, wakati wa mipango ya Rais Trump kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un.
Taarifa hii ya karibuni ni kama tahadhari ya kuwa majadiliano kati ya nchi hizo mbili hayatakuwa rahisi.Wakati huo huo Korea ya Kaskazini imeishutumu Marekani kwa uchochezi wa makusudi dhidi ya Pyongyang kwa kutoa ushauri wa vikwazo havitaondolewa mpaka hapo itakapondoa silaha zake za nyuklia.
Wakati huo huo Korea ya Kaskazini imeishutumu Marekani kwa uchochezi wa makusudi dhidi ya Pyongyang kwa kutoa ushauri wa vikwazo havitaondolewa mpaka hapo itakapondoa silaha zake za nyuklia.
Wakati wote Korea Kaskazini imekuwa ikiikosoa Marekani , lakini kumekuwa na mashambulizi machache katika wiki za hivi karibuni, wakati wa mipango ya Rais Trump kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un.
Taarifa hii ya karibuni ni kama tahadhari ya kuwa majadiliano kati ya nchi hizo mbili hayatakuwa rahisi.
CHANZO BBC NEWS
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget