Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

HAFLA YA UTIWAJI SAINI UJENZI WA BARABARA BUBUBU- MAHONDA YAFANYIKA ZANZIBAR

DSC_0456
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seuf Ali Idi akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Abdujumbe mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Halmashairi ya Wilaya ya Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja kwa ajili ya Kushuhudia utiwaji wa saini ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni.
DSC_0487
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Abdujumbe kulia akitoa taarifa kuhusiana na Uwekaji saini ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni hafla iliofanyika katika Ukumbi wa Halmashairi ya Wilaya ya  Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
DSC_0509
Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Balozi Ali Karume akitoa hotuba kuhusiana na Ujenzi wa Barabara katika hafla ya Uwekaji saini ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni, iliofanyika katika Ukumbi wa Halmashairi ya Wilaya ya  Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
DSC_0522
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Abdujumbe kushoto akitiliana saini na Mkurugenzi Muendeshaji wa Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation(CCECC)Jiang Yigao kuhusiana na ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni,hafla  iliofanyika katika Ukumbi wa Halmashairi ya Wilaya ya  Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
DSC_0530
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji Mustafa Abdujumbe kushoto akikabidhiana vitabu vya mikataba na Mkurugenzi Muendeshaji wa Kampuni ya China  Civil Engineering Construction Corporation(CCECC)Jiang Yigao Baada ya kutiliana saini  kuhusiana na ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni,hafla  iliofanyika katika Ukumbi wa Halmashairi ya Wilaya ya  Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
DSC_0571
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seuf Ali Idi akitoa hotuba katika hafla ya utiaji saini ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni,hafla  iliofanyika katika Ukumbi wa Halmashairi ya Wilaya ya  Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
DSC_0580
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika hafla ya uwekaji saini ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni,  iliofanyika katika Ukumbi wa Halmashairi ya Wilaya ya  Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
DSC_0592
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seuf Ali Idi akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali waliohudhuria katika  hafla ya uwekaji saini ujenzi wa Barabara za Bububu Mahonda Mkokotoni,Pale Kiongele,Matemwe Muyuni na Fuoni Kombeni,  iliofanyika katika Ukumbi wa Halmashairi ya Wilaya ya  Kaskazini A Mkokotoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget