Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

SPIKA NDUGAI AKUTANA NA WATENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KONGWA.

IMGL1880
Spika wa Bunge na Mbunge wa Jimbo la kongwa, Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza na Watendaji Mbali mbali wa halmshauri ya wilaya ya kongwa katika kikao kilichofanyika leo ofisini kwake kongwa Mjini Dodoma.
IMGL1920
Watendaji Mbali mbali kutoka halmashauri ya wilaya ya kongwa wakimsikiliza Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati) wakati wa kikao cha pamoja kilichofanyika leo katika ofisi ya Mbunge (Spika wa Bunge) wilayani kongwa Mkoani Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget