Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

MCHEZO KATI YA MBEYA CITY NA KAGERA SUGAR WAAHIRISHWA KUTOKANA NA UWANJA KUJAA MAJI

Mjadala kabla ya kuahirishwa kwa mechi.
Mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Mbeya City na Kagera Sugar uliokuwa umeahirishwa na kupangwa kufanyika katika Uwanja wa Sokoine Mbeya, umeahirishwa kutokana na hali ya uwanja kutokuwa nzuri kama inavyoonekana pichani baada ya mvua kubwa kunyesha.
Uwanja umetapakaa maji.

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget