Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

NAIBU WAZIRI KWANDIKWA AWATAKA WAFANYAKAZI MIZANI KUACHA RUSHWA.


MsimamiziwashughulizamzaniwaTindekutokaWakalawaBarabara (TANROADS),mkoaniShinyanga, Bw. LugembeVicent (kushoto), akitoataarifayakiutendajiyamzanihuokwaNaibuWaziriwaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano (SektayaUjenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa. Mzanihuounapimamagari 300 kwasiku.
NaibuWaziriwaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano (SektayaUjenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa, akiangalianamnawatumishiwamzaniwaTinde, mkoaniShinyangawanavyopimanakurekoditaarifazamagariyanaoingiakupimauzitokwenyemzanihuo.

Magariyakiwakatikafolenikusubirihudumazaupimajiuzitoilikuendeleana safari kwenyemzaniwaTinde, mkoaniShinyanga.

MuonekanowabarabarayaUyovu- Bwanga (KM 45) kwakiwango cha lamiiliyopomkoaniGeita, ikiwaimekamilikakwaasilimia 98.

NaibuWaziriwaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano (SektayaUjenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa (Mwenyesuti),kiangalianamnashughulizaupimajiwamagarizinavyoendeshwakatikamzaniwaTinde, mkoaniShinyanga. KushotokwakeniMenejawaWakalawaBarabara (TANROADS), wamkoahuo, MhandisiMibalaNdilindi.
Wafanyakaziwamizaninchiniwametakiwakufanyakazikwaweledi, uadilifunakuachananavitendovyarushwailikuletatijanaufanisiwakazizao
katikausimamiajinaulinziwabarabaraambazoSerikaliimekuwaikitumiagharamakubwakatikaujenzi wake.
HayoyamesemwanaNaibuWaziriwaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano (SektayaUjenzi), Mheshimiwa Elias Kwandikwa, leomkoaniShinyanga, alipokuwaakikagua  mzaniwaTinde(Shinyanga), naMwendakulima (Kahama),  ambapoamesisitizaushirikianokatiyawafanyakazihaonamaderevailikutatuachangamotozinazojitokezakatika  vituovyamizani.

"Watumishinamaderevashirikianenikutokomezavitendovyarushwa, kamwemsijihusishekutoawalakupokearushwailikupatahudumazaharaka, tukikubainitutakuchukuliahatua kali zakisheria", amesemaNaibuWaziriKwandikwa.
Aidha, ametoawitokwamaderevawamagariyamizigowanaotakiwakuwanastikamaalumzausafirishajiwamizigoyaokufuatautaratibuwakuchukuastikahizomahalihusikailikuepusha usumbufunamsongamanowamagarikatikavituovyamizani.

Akiwa katikaeneo la sehemuyamaegeshonakulazamagarimjiniKahamaNaibuWaziriKwandikwa, ametoawitokwaviongoziwaHalmashaurihiyokuchukuahatua kali kwamaderevawanaopakinjeyaeneohilo, ilikudhibitiuchafuziwamazingiraunaowezakufanywanabaadhiyamadereva hao.
AmeshaurikwauongoziwaHalmashaurihiyokuonanamnayakujengamaegeshomenginekamahayoilikupatachanzo cha mapatonakusaidia kuujengamjikuwanaTaswiranzuri.
Kwaupande wake, MenejawaWakalawaBarabara (TANROADS), mkoaniShinyanga, MhandisiMibalaNdilindi,amethibitishakuwepokwavitendovyarushwakwabaadhiyawafanyakaziwamizaninchiniambapoamefafanuakatikakupambananasualahilokwawatumishiwamkoa waketayarimweziuliopitaamewachukuliahatuazakinidhamuwatumishiwatatuwamzaniwaMwendakulima.
Naye, MsimamiziwashughulizamzaniwaMwendakulimakutoka TANROADS Shinyanga, Bi HeriethMonjesa,amesemakuwachangamotozamsongamanowamagarikatikamizanizinasabaishwanabaadhiyamaderevawamagariyamizigowanaotakiwakuwanastikamaalumzausafirishajiwamizigoyaokushindwakufuatautaratibu, hivyokupelekeausumbufukwawahudumunawatumiajiwenginewamizani.


Katikahatuanyingine, NaibuWaziriKwandikwa, amekaguabarabarayaUyovu-  Bwanga (KM 45), ambapoujenzi wake kwasasaumefikaasilimia 98 namkandarasiamebakishakazizaujenziwamiferejinauwekajiwaalamazabarabarani.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget