Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

Z Anto: Ataka Mashabiki Wasimgombanishe na Ali Kiba

Msanii Z Anto ambaye sasa ameanza kujipanga kurudi upya kwenye muziki amefunguka na kuwataka watu hususani kwenye mitandao ya kijamii kuacha kumtengenezea chuki kwa wasanii kama Alikiba na hasimu wake na kusema hapendi kuwagawa mashabiki zake.

Z Anto amefunguka ya moyoni baada ya chombo kimoja cha habari kutoa taarifa kuwa amesema anataka kuwakalisha Alikiba pamoja na hasimu wake kwenye muziki jambo ambalo amelipinga na kusema si kweli.

Mkali huyo ambaye awali amewahi kufanya vyema na ngoma kama binti kiziwi, mpenzi jini, kisiwa cha malavidavi ametangaza rasmi kurudi kwenye muziki wa bongo fleva siku ya Ijumaa kwa kuachia ngoma yake mpya pamoja na video.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget