Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

KANTE ATWA TUZO YA MWANASOKA BORA WA ENGLAND,AKIWAPIGA CHINI HAZARD,ZLATAN NA SANCHEZ


3F8A26DC00000578-4437940-image-m-87_1492980021944
Kiungo wa Chelsea, N’Golo Kante ameibuka mshindi katika tuzo ya mchezaji bora wa kulipwa nchini England.
 
Kante amechukua ushindi mbele ya wachezaji wengi nyota ambao walikuwa wakipewa nafasi kama Eden Hazard (Chelsea), kutoka Tottenham’, Harry Kane, Zlatan Ibrahimovic (Manchester UnitedI, Romelu Lukaku (Everton)na Alexis Sanchez wa Arsenal.
Kante 26, ambaye ni raia wa Ufaransa ameshinda tuzo hiyo ambayo hutolewa na chama cha wanasoka wa kulipwa.
 
Chelsea ilimwaga kitita cha pauni milioni 32 kumnasa Kante kutoka Leicester aliyokuwa ameisaidia kuipa ubingwa msimu uliopita.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget