Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

RAIS WA ZANZIBAR AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO WIZARA YA ELIMU ZANZIBAR.


A
Baadhi ya Walimu na viongozi wa michezo katika maskuli waliohudhuria katika hafla ya Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza Zanzibar.
A 1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein katikati akimkabidhi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma Jezi pamoja na Mipira kwa ajili ya mashindano ya maskuli vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza.
A 2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein katikati akimkabidhi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma Viatu vya mpira wa Miguu  kwa ajili ya mashindano ya maskuli vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza.
A 3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein katikati akimkabidhi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma Kikombe cha kushindaniwa katika mashindano ya maskuli vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza.
A 4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein akitowa hotuba katika hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget