Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI MKOANI KILIMANJARO JIONI HII


index
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewasili mkoani Kilimanjaro na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa huo Bw. Said Meck Sadik Tayari kuhudhuria sherehe za wafanyakazi duniani Mei Mosi zitakazofanyika Kitaifa mkoani Kilimanjaro
MOS
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Kilimanjaro wakati alipowasili mkoani humo.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget