Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

KRC GENK YA SAMATTA YAFIA NYUMBANI EUROPA LEAGUE


3F6E14A000000578-0-image-a-34_1492718820171
Celta Vigo imepata safe ya bao 1-1 dhidi ya Genk ya Ubelgiji ambayo anaichezea Mtanzania Mbwana Samatta.
Sare hiyo inaivusha Celta hadi nusu fainali ya Europa League kwa kuwa mechi ya kwanza nyumbani ilishinda kwa mabao 3-2.
Juhudi za Samatta kuhakikisha Genk inasonga mbele dhidi ya timu hiyo ya Hispania, ziligonga mwamba.
Mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Cristal Arena ilikuwa ngumu na Celta walianza kupata bao katika dakika ya 63 kupitia Pione Sisto lakini wenyeji wakasawazisha kupitia Leandro Trossard.

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget