Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

Mamia wakusanyika kumsikiliza Trump Arizona

Trump amekuwa akipingwa kwa kutoa baadhi ya kauli zenye utata
Image captionTrump amekuwa akipingwa kwa kutoa baadhi ya kauli zenye utata
MAMIA ya wafuasi wa Rais wa Marekani Donald Trump wamekusanyika katika mji wa Phoenix, Arizona kwa mkutano utakaohutubiwa nae hivi punde.
Hata hivyo inasemekana kuwa wapinzani wa Trump pia wamekusanyika kwa ajili ya kumpinga.
Meya wa mji huo awali alimtaka Trump achelewe kufika kwa madai ya kusababisha ubaguzi wa rangi nchini Marekani.
Kulikua na waliompinga pia katika mkutano huo
Image captionKulikua na waliompinga pia katika mkutano huo
Ni kutokana na maneno ya Trump juu ya mgogoro ulioibuka kati ya weupe na weusi mapema mwezi huu mjini Charlottesville.
CHANZO BBC NEWS
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget