Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

WAZIRI UMMY MWALIMU, WAZIRI SIMBACHAWENE NA BILIONEA BILLGATE WAZINDUA MFUMO WA MATUMIZI YA KIELEKTRONIKI KATIKA SEKTA YA AFYA


bil1
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa kwanza kushoto akikata utepe kuashiria uzinduzi  wa mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya  uliofanyika jijini Dar es salaam  katikati ni  Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates na kulia ni Waziri wa TAMISEMI Simbachawene.
bil2
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa kwanza kushoto akimkabidhi zawadi Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates wakati wa uzinduzi  wa mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya uliofanyika jijini Dar es salaam.
bil3
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa kwanza kushoto akionyesha kitabu cha  mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya  uliofanyika jijini Dar es salaam pamoja na  Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates katikati na kulia ni Waziri wa TAMISEMI Simba Chawene.
bil4
Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau wa sekta ya afya hawapo pichani wakati wa uzinduzi  wa mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya  uliofanyika jijini Dar es salaam.
bil5
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wadau wa sekta ya afya hawapo pichani wakati wa uzinduzi  wa mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya unaosimamiwa na Taasisi ya Bilionea Billgate Bill & Melinda Gates  uliofanyika jijini Dar es salaam.
bil6
Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates wa kwanza kushoto akisaini kitabu cha wageni wakati alipokutana na Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu wa pili kushoto katika  ofisi ndogo  ya wizara hiyo jijini Dar es salaam ili kuzindua mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya.
bil7
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu katikati waliokaa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa afya wa kwanza kulia ni  Mwenyekiti mwenza wa Bill & Melinda gates foundation,bilionea Bill Gates na Katibu Mkuu Afya, Dkt. Mpoki Ulisubisya kushoto  katika  ofisi ndogo  ya wizara hiyo jijini Dar es salaam ili kuzindua mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya.
bil8
Wadau mbalimbali wa sekta ya afya wakimsikiliza kwa makini  Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu hayupo pichani  jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa mpango wa mfumo  wa matumizi  ya kielektroniki katika sekta ya afya.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget