Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

RAIS DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI SHIRIKA LA NYUMBA,UONGOZI WA WIZARA UJENZI,MAWASILIANO NA USHAFIRISHAJI


DSC_7892
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akionesha Ramani ya Ujenzi wa Mji wa kisasa utakaojengwa  sambamba na ufukiaji wa Bahari ya  Eneo la pwani ya Gulioni  katika kikao cha siku moja kilichojumuisha  Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Wajumbe  wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba na Uongozi wa Shirika la Nyumba  katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 01 /08/2017.
DSC_7899
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akionesha Ramani ya Ujenzi wa Mji wa kisasa utakaojengwa  sambamba na ufukiaji wa Bahari ya  Eneo la pwani ya Gulioni  katika kikao cha siku moja kilichojumuisha  Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Wajumbe  wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba na Uongozi wa Shirika la Nyumba  katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 01 /08/2017.
DSC_7939
Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati alipofanya kikao cha siku moja pamoja na Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 01 /08/2017.
DSC_7952
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akizungumza na  Uongozi wa Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji pamoja na Wajumbe  wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Nyumba na Uongozi wa Shirika la Nyumba  katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 01 /08/2017.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget