Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

SIMBA YACHAPWA 1-0 NA ORLANDO PIRATES MECHI YA KIMATAIFA YA KIRAFIKI

20431678_471920126521104_3520252301779762298_n
Simba imechapwa kwa bao 1-0 katika mechi yake ya kwanza ya kirafiki baada ya maandalizi ya msimu wa 2017-18.
 
Simba imelala kwa bao 1-0 dhidi ya wenyeji wake Orlando Pirates katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Orlando jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget