Beki
wa Yanga, Juma Abdul, (kulia) akiruka kuwania mpira na beki wa AFC
Leopards Abwao Marcus, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya
SportPesa Super Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es
Salaam, leo. Katika mchezo huo AFC Leopards wameibuka na uwashinda wa
mikwaju ya penati 4-2 baada ya kumalizika dakika 90 kwa sare ya 0-0.
Mshambuliaji wa Yanga Juma Mahadhi (kulia) akiwania mpira na Kiungo wa AFC Leopards, Alan
Katerega,
wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup,
uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Yanga Juma Mahadhi (kulia) akimtoka mpira na beki wa AFC Leopards, Abdallah
Salim,
wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup,
uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa, akijiandaa kupiga shuti huku akizongwa na mabeki wa AFC
Leopards,
wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super Cup,
uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
Mshambuliaji
wa Yanga Yusuph Mhilu (kushoto) akimtoka beki wa AFC Leopards, Abwao
Marcus, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super
Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
Winga
wa Yanga, Yusuph Mhilu (kushoto) akimfinya beki wa AFC Leopards, Abwao
Marcus, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super
Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji
wa Yanga, Juma Mahadhi (kushoto) akichuana kuwania mpira na Abdallah
Salim, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super
Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
Mshambuliaji
wa Yanga, Juma Mahadhi (kushoto) akichuana kuwania mpira na Abdallah
Salim, wakati wa mchezo Nusu Fainali wa mashindano ya SportPesa Super
Cup, uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam
Post a Comment