Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

MKUTANO WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC) JIJINI DAR ES SALAAM

muse1
Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museveni akilakiwa na Waziri wa NIshati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J. K. Nyerere tayari kwa kuhudhuria mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)unaofanyika leo tarehe 20/ 5/ 2017 Ikulu jijini Dar es salaam

muse2
Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museveni akisalimiana  na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J. K. Nyerere tayari kwa kuhudhuria mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)unaofanyika leo tarehe 20/ 5/ 2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget