Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

NAIBU SPIKA WA BUNGE ATEMBELEWA NA UGENI KUTOKA JHPIEGO


SAC1
Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizungumza jambo pale alipotembelewa na ugeni kutoka Shirika la kimataifa lisilo la kiserikali linalotekeleza Miradi Mbali mbali ya Afya hapa nchini lijulikanalo kama Jhpiego, wakiongozwa na Rais na Mtendaji Mkuu wa Jhpiego wa Dunia Dkt. Leslie Mancuso (kushoto), Makamu wa Rais Mwandamizi, Dkt. Alain Damiba (katikati) katika kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
SAC2
SAC3
SAC4
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akimsikiliza Rais na Mtendaji Mkuu wa Jhpiego wa Dunia Dkt. Leslie Mancuso (kushoto) akizungumza jambo wakati ugeni kutoka Shirika la kimataifa lisilo la kiserikali linalotekeleza Miradi Mbali mbali ya Afya hapa nchini lijulikanalo kama Jhpiego, lilipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. katikati ni Makamu wa Rais Mwandamizi, Dkt. Alain Damiba
SAC5
Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (kulia) akimsikiliza Rais na Mtendaji Mkuu wa Jhpiego wa Dunia Dkt. Leslie Mancuso (wa tatu kulia) akizungumza jambo pale ugeni kutoka  Shirika la kimataifa lisilo la kiserikali linalotekeleza Miradi Mbali mbali ya Afya hapa nchini lijulikanalo kama Jhpiego, ulipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget