Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

Brazil vinara wa soka Ulimwenguni

FIFAHaki miliki ya pichaGOOGLE
Image captionFIFA
Shirikisho la kandanda Ulimwenguni Fifa limetoa orodha mpya ya ubora wa viwango vya soka ulimwenguni.
Brazil bado ni vinara kwa nafasi ya kwanza ikifuatiwa na Argentina nafasi ya pili,nafasi ya tatu ni Ujerumani,nafasi ya Nne ni Chile, nafasi ya tano ni Colombia ,nafasi ya sita ni Ufaransa,nafasi ya saba ni Ubeligiji, nafasi ya nane ni Ureno ,nafasi ya tisa ni Switzerland na nafasi ya kumi ni Hispania.
Kwa upande wa Afrika Misri bado ni vinara ikiwa katika nafasi ya 19 Ulimwenguni, na orodha nyingine ya ubora Duniani itatoka tena Juni Mosi.
Chanzo BBC News

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget