Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

BENKI YA CRDB YASAIDIA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU KATIKA SHULE YA SEKONDARI LAIKALA KONGWA DODOMA

Spika
wa Bunge, Job Ndugai, ambaye pia ni mbunge wa Kongwa, akipokea mfano wa
hundi  ya Sh. Milion 15 kutoka kwa Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Tawi laDodoma,
Rehema Hamisi kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa nyumba ya walimu katika
Shule ya Sekondari Laikala iliyopo wilayani Kongwa. Kulia ni Diwani wa
Kata ya Sagala, Simon Kamando, akishuhudia.

Spika
wa Bunge, Job Ndugai (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na
wafanyakazi wa Benki ya CRDB Tawi la Dodoma pamoja na viongozi
mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo.

 Wanafunzi wakifurahia mfano wa hundi iliyotolewa na Benki ya CRDB. 
  Sehemu ya mifuko ya sarui iliyokabidhiwa na Benki ya CRDB kwa Shule ya Sekondari Laikala.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget