Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

TANZIA: KARANI WA BARAZA LA MAWAZIRI HASSAN RASHID SHEBUGE AFARIKI DUNIA




Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi anasikitika kutangaza kifo cha Karani wa Baraza la Mawaziri Hassan Rashid Shebuge (pichani) kilichotokea jana Julai 06, 2017 katika Hospitali ya Taifa Muhimbini Jijini Dar es salaam alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.



Kabla ya kufikwa na mauti inaelezwa kuwa marehemu Shebuge aliugua ghafla akiwa nyumbani kwake Mbagala Majimatutu jijini Dar es salaam mnamo Julai 03, 2017 na kukimbizwa katika hospitali ya Rangi Tatu ili kupatiwa huduma ya dharura na baadae kuhamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi hadi hapo matuti yalipomfika.


Kwa mujibu wa taarifa ya kitaalam iliyotolewa na madaktari inaelezwa kuwa Maremu Shebuge alipatwa na shinikizo la damu ambalo limepeleka kupoteza kwake maisha.


Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu, aiweke roho ya Marehemu Hassan Rashid Shebuge mahapa pema peponi -  Amin.


Msiba upo nyumbani kwa Marehemu, Mbagala Majimatitu.


IFUATAYO NI RATIBA NZIMA YA MSIBA 
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget