Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

MADEREVA WA BODABODA WILAYA YA ILALA WAFANYA MAANDAMANO KUMUUNGA MKONO RAIS DK. MAGUFULI

pik01
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh.Sophia Mjema akizungumza na madereva wa Bodaboda wilaya ya Ilala baada ya kupokea  maandamano yao leo yaliyokuwa na leongo la  kupongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli kwa Utendaji kazi wake.
Madereva hao walitoa kilio Chao kwa Serikali  kutokana na askari na mgambo kuwakamata mara kwa mara  wakiwa katika shughuli zao za kila siku na kuomba amri ya kukamatwa iondolewa ili waweze kufanya shughuli zao za kutafuta riziki bila usumbufu.
pik1
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mh.Sophia Mjema akipokea maandamano ya  madereva wa Bodaboda wilaya ya Ilala leo jijini Dar es salaam kulia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Ilala Ndugu Edward Mpogolo.
pik2
Baadhi ya wadereva wa Bodaboda wakimshangilia mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema wakati alipokuwa akizungumza nao baada ya kupokea maandamano yao leo jijini Dar es salaam.
pik3
Baadhi ya madereva wa Bodaboda wakiwa katika maandamano hayo.
pik4
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget