Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

IGP SIRRO AKUTANA NA BAADHI YA MAKAMANDA AKIWA SAFARINI MIKOA YA KANDA YA ZIWA



 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akizungumza jambo na Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Debora Magiligimba, IGP Sirro amepita mkoani Singida, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo


 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akiweka saini katika kitabu cha wageni katika kituo cha Polisi cha Wilaya ya Manyoni mkoani Singida, na kuzungumza na baadhi ya askari na maofisa (hawapo pichani), IGP Sirro, amepita katika wilaya hiyo, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo.

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akipokea taarifa kutoka kwa Mkuu wa Polisi wa Wilaya ya Manyoni (OCD) Cleophace Magesa, IGP Sirro, amepita katika wilaya hiyo, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akifurahia jambo na kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga, kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Muliro J. Muliro, IGP Sirro, amepita mkoani humo, akiwa safarini kuelekea mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya kikazi yenye lengo la kujitambulisha pamoja na kuzungumza na askari wa Jeshi hilo. Picha zote na Demetrius Njimbwi – Jeshi la Polisi
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget