Kitaifa, Kimataifa, Siasa, Michezo na Burudani

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI MAREHEMU LINAH MWAKYEMBE JIJINI DAR LEO MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI MAREHEMU LINAH MWAKYEMBE JIJINI DAR LEO


Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akiongoza Viongozi mbalimbali wa Serikali,ndugu jamaa na Marafiki katika kutoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.
Pichani wa tatu kulia ni Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo,Dkt Harisson Mwakyembe akiwa
Pichani wa tatu kulia ni Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo,Dkt Harisson Mwakyembe akiwa sambamba na Familia yake ndani ya kanisa la KKKT Kunduchi wakishiriki kwa pamoja misa ya kuaga mwili wa Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwishoni mwa wiki.

Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pole kwa Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo,Dkt Harisson Mwakyembe,kufuatia kifo cha mke wake mpendwa Linah Mwakyembe,kilichotokea mwishoni wa wiki jijini Dar.

Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akitoa salamu za pole wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.

 
Misa ya kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe ikiendelea mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.

Baadhi ya Viongozi wa chama na Serikali wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kuaga mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo katika kanisa la KKKT Kunduchi,jijini Dar.Marehemu Linah Mwakyembe aliyefariki mwisho mwa wiki anatarajiwa kusafirishwa leo jioni kwenda wilayani Kyela mkoani Mbeya kwa mazishi.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akimfariji Waziri wa Habari,Utamaduni Sanaa na Michezo,Dkt Harisson Mwakyembe kufuatia kuondokewa na mke wake Linah Mwakyembe mwishoni mwa wiki.
Labels:

Post a Comment

[facebook]

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget